Viongozi wa Taveta Wamrai Gavana Kuteua Waziri Kutoka Eneo Hilo
Viongozi kutoka Eneo Bunge la Taveta wameitaka serikali ya Kaunti ya Taita Taveta, inayoongozwa na Gavana Andrew Mwadime, kumteua waziri mpya wa Kilimo na Ufugaji kutoka Eneo hilo. Hii ni…
Changamoto za Elimu kwa Mayatima wa Ajali ya Barabarani Taita Taveta
Zaidi ya miaka miwili imepita tangu kutokea kwa ajali mbaya eneo la Taru katika barabara kuu ya Nairobi-Mombasa, lakini bado mayatima kumi kutoka kijiji cha Mgeno, eneo bunge la Mwatate,…
DAPATA Kuimarisha Umoja wa Kitamaduni na Mshikamano wa Jamii
Sherehe za Kitamaduni za Jamii za Taita, Pare na Taveta zinazoishi eneo bunge la Taveta, kaunti ya Taita Taveta, zimezinduliwa rasmi chini ya mwavuli wa DAPATA. Huu ni ushirika unaozileta…
No Plans for Evictions, Teita Estate Assures Residents Amid Rising Tension
Teita Estate has assured residents of Singila Majengo that they will not be evicted from their land, emphasizing that the recent court rulings involve a different parcel and not the…
Mwakilishi wa Wanawake Aongoza Usambazaji wa Sodo kwa Wanafunzi Taita Taveta
Mwakilishi wa wanawake kwenye kaunti ya Taita Taveta Lydia Haika aongoza Hafla ya zoezi la usambazaji wa Sodo kwa Wanafunzi wa Shule za umma kwenye Maeneo Bunge ya Mwatate, Voi,…
DAPATA Communities Celebrate Cultural Day in Taveta
The Dawida, Pare, and Taveta communities (DAPATA) recently converged to celebrate their rich cultural heritage at the Taita Taveta University grounds, Taveta branch. The event, which drew participants from across…
Four Senior Taita Taveta Officials Arrested for Allegedly Embezzling Ksh. 7 million
Four senior Taita Taveta County officials accused of embezzling over Ksh 7 million under the guise of commemorating World War I have been arrested. The suspects, including the Economic Advisor…
Mental Health, Hardship Allowances, and Teacher Promotions Dominate Talks as KNUT in Coastal Region Unites
Mental health crisis among teachers, financial strain, delays in promotions, lack of hardship allowances, inadequate medical insurance, and the alarming rise of drug and substance abuse dominated the Taita Taveta…
Raphael Mwangala Elected Chairman of Achonyi Elders as Leaders Call for Mijikenda Unity
The Chonyi community, one of the Mijikenda subtribes in Kilifi County, celebrated the inauguration of Raphael Mwangala as the new chairman of the Achonyi Council of Elders (ACE) in a…
Makovu ya Ukeketaji Yasukuma Wakeketaji Kuasi Ukeketaji Kenya
Simulizi za wanawake wanaoishi na makovu ya ukeketaji, kwa dhiki nyingi, zinaelezea unyanyasaji waliopitia na jinsi walivyokabiliana na fedheha na aibu za ukeketaji. Wengi wa wanawake hawa waligeuka kuwa wakeketaji…